WEMA AFUNGUKA
Kada Mpya wa Chadema,Wema Sepetu naye hakubaki nyuma katika kuonyesha hisia zake ,ambapo kupitia ukurasa ake wa kijamii wa instagram amepot ujumbe unaoonyesha kuwa ameshtusha na tukio la Rais Magufuli Kumvua Uwaziri Mhe Nape Nnauye
Kada Mpya wa Chadema,Wema Sepetu naye hakubaki nyuma katika kuonyesha hisia zake ,ambapo kupitia ukurasa ake wa kijamii wa instagram amepot ujumbe unaoonyesha kuwa ameshtusha na tukio la Rais Magufuli Kumvua Uwaziri Mhe Nape Nnauye
Maoni
Chapisha Maoni