HATMA YA WEUSI NA CHRISTIAN BELLA YAJULIKANA


Mwaka jana, collabo ya kundi la Weusi na
Christian Bella ilivuja lakini ikaja kubainika kuwa
wameingia tena studio kuifanya upya na
kuiboresha zaidi ili kuiachia rasmi.
Hata hivyo, Weusi wameonesha kuiweka benchi
bado ngoma hiyo baada ya wiki hii kuachia
wimbo mwingine, Ya Kulevya. Nick wa Pili
ameelezea hatma ya collabo hiyo.
“Kazi ya Bella tuliirudia upya, ni kazi kali, ni
project kubwa itakuja muda wake ukifika na
tunataka tukitoa, tutoe audio na video kwa
pamoja,” rapper huyo alikiambia kipindi cha
Extra Fleva cha Uplands FM kinachoendeshwa
na Ergon Elly.
Kwa upande wa video ya Ya Kulevya, Nick
amesema haitachukua muda mrefu kuanza
kuonekana kwenye TV.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI