PROF.LIPUMBA AMTIMUA RASMI MAALIM SEIF UKATIBU CUF


Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi(CUF) leo limemvua Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu na kumpa Magdalena Sakaya.

Tamko hilo limetolewa na mwenyekiti wa CUF anayeungwa mkono na  Msajili wa Vyama,  Prof. Ibrahim Lipumba ambapo amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya Maalim Seif kukaidi na kususia ofisi kwa miezi kadhaa.

==>Msikilize hapo chini akiongea

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI