Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2017

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 1 2017

Picha

MADA;USAFI KWA WANAUME JINSI YA KUTUNZA UUME

Picha
Mgegedo ni tafsida nimeitumia kama kiwakilishi cha maumbile ya mwanaume yaani uume. Mgegedo ni eneo muhimu sana kwawanaume ambalo wanalitukuza kuliko kitu chochote hapa duniani, hivyo leo hiinimeona ni vyema kutoa darasa kwa wanaume ili wajue namna nzuri ya kutunza migegedoyao ili iwe misafi na yenye afya kwa ustawa wa mahusiano yao na wenzi wao. Ni vyema wanaume wakajengautaratibu wa kuweka migegedo yao katika hali ya usafi unaostahili kwa ajili yakujenga mahusiano mazuri na wenzi wao inashauriwa kuosha mgegedo kwamakini kwa kutumia maji ya uvuguvugu kila siku mwanaume anapooga, kama mwanaumeatakuwa hajatahiriwa, basi anatakiwa kuigeuza ile ngozi inayofunika sehemu yambele ya mgegedo wake na kuisafisha kwa makini ili kuondoa ukando kando unaokuwaumeganda ndani unaofanana na jibini ambapo ukando kando huo hufahamikakitaalamu kama smegma. Huu ukando kando unaopatikanandani ya migegedo ya wanaume wasiotahiriwa ni kilainishi maalum kinachoufanyamgegedo usiwe mkavu,kilainishi hiki ni ch...

BABUTALE AMCHANA ERIC SHIGONGO

Picha
Baada ya Eric Shigongo kuandika barua ndefu ya kumuonya Diamond kuhusiana na jinsi anavyowawekea ngumu waandaji wa show za ndani kwa kuwatoza bei zile zile kama anavyowatoza wa nje ya nchi na kuhusisha uongozi wa WCB kuwa ni sehemu ya tatizo hilo, Babutale amejibu. Tale amefunguka mengi huku akimshutumu Shigongo kuwa na hila ya kuharibu biashara zake kupitia magazeti ya Global Publishers. Kupitia Instagram, Tale ameandika: Umejitahidi kujaribu kubomoa biashara yangu kenye magazeti yako kwa kila aina ya uchafu kuwazushia na kuwaandika wasanii wangu tumekaa kimya…baada kufeli kuwabomoa wasanii wangu na kuona magazeti yako sasa hayauzi, watu wapo instagram Naona unajitahidi kujaribu kubomoa biashara yangu kupitia instagram yako… siku zote nimekuheshimu na Sijawai kuku vunjia heshima hata kwa kuteleza, ila unapoelekea Sina budi ya kukupa unacholazimisha kukipata…ili kesho ukawaambie vizuri waandishi wa magazeti yako wanitungie kashfa, uongo na kunitukana kama mnavyofa...

MAMBO YATAKAYO KUFANYA UUME WAKO KUWA NA AFYA

Picha
Uume (Penis) ni kiungo chenye hisia na muhimu katika jinsi ya kiume kutokana na nafasi yake katika mwili. Wanaume wengi wamekuwa wakitumia kiungo hicho pasipo kuzingatia utunzaji wake nakuifanya sehemu hiyo nyeti kuwa chafu na hata pengine kutoa harufu mbaya kwa kutoifanyia usafi sawasawa hasa baada ya kushiriki tendo la ndoa na kusisahidia haja ndogo. Leo kati safu hii ya afya nikakufahamisha jinsi 10 muhimu za kutunza uume wako: Usafi kwa asiyefanyiwa Tohara Watu wengi usahau hata kushindwa kusafisha ngozi ya juu ya Uume wakati wa kuoga na baada ya tendo la ndoa na hasa wale ambao bado wana Ngozi ya juu ya uume (govi) na kusahau kusafisha eneo la chini yake. Kama una ngozi ya mbele katika uume (govi), unapaswa kuvuta kwa chini kwa upole ngozi hiyo na kufua eneo la chini yake na maji moto. Kama utashindwa kufanya hivyo utasababisha eneo hilo kuwa na harufu mbaya na kusababisha kuzaliana kwa bakteria. Kunawa mikono Ni lazima kuwa na tabia ya kusafisha uume wako si tu baada ya k...

ERICH SHIGONGO AENDELEA KUWAPA MAKAVU DIAMOND NA UONGOZI WAKE

Picha
Erick Shigongo Aendelea Kuwapa Makavu Live Diamond na Uongozi Wake...Adai Wanajichimbia Shimo 5 hours ago Kama nilivyosema wakati naanza kwamba ninampenda sana Diamond kwa sababu amekuwa mtu wa kujituma, aliyeng’ang’ania kutoka kwenye umasikini mpaka kuwa na mafanikio aliyokuwa nayo. Ieleweke kwamba sipo kwa ajili ya kumsema, kumponda, hapana, nipo kwa ajili ya kumshauri kama mdogo wangu, rafiki yangu kwa hiyo naomba nisieleweke vibaya. Diamond Platnumz kwao ni Tanzania, ni mwanamuziki wa Kitanzania na hata wapenzi wake wengi wanaomsapoti kwa nguvu nyingi ni Watanzania ambao asilimia kubwa vipato vyao ni vya chini mno. Wengi wanatamani kumuona akifanya shoo katika ardhi yake ya nyumbani, lakini badala yake wamekuwa wakimuona mara nyingi akifanya shoo Marekani, Ulaya, Nigeria, Afrika Kusini, kwenye Mashindano ya Afcon na sehemu nyingine nyingi ambazo ni nje ya Tanzania, mahali alipozaliwa na kuthaminiwa, mahali ambapo aliweza kujijazia mashabiki wengi. Mashabiki zake wanahitaji s...

BAADA YA HARMORAPA KAPATIKANA WEMA RAPA

Picha
Kuna imani kuwa duniani wawiliwawili! Hii inajidhihirisha kwa mwanadada Lisa Deedee `Tuerny’ ambaye amejipatia umaarufu mitandaoni kutokana na kufananishwa na staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu. Kupitia gazeti hili, mrembo huyo anafunguka mambo mbalimbali usiyoyajua kuhusu yeye; Ijumaa: Hivi Tuerny ulijuaje kuwa unafanana na Wema? Tuerny: Nakumbuka mwaka 2012 niliweka picha mtandaoni, mama akanitumia sms kwamba ninafanana na Wema, nilishtuka lakini tangu hapo akawa kama amebariki hicho kitu. Nilishangaa kila sehemu niliyokwenda watu wananiambia nafanana na Wema. Ijumaa: Ulijisikiaje kufananishwa naye na ni changamoto zipi unazokutana nazo? Tuerny: Sikuona kama ni kero, nilichukulia kawaida tu, haikuwa chanzo cha mimi kufanya vitu vya kufanana naye, mimi siyo mtu wa shobo kama hao wengine na sijawahi kuwa shabiki wake, changamoto ni kwamba wengi wanajua Wema ni ndugu yangu wakati si kweli. Ijumaa: Je, umeshawahi kuwa na ukaribu na Wema? Tuerny: Sijawahi na sifikirii, ila kipi...

LADY JAYDEE AZINDUA LEO ALBUM YAKE YA 'WOMAN' JIJINI DAR LEO KING SOLOMON HALL

Picha
Lady Jaydee leo atafanya uzinduzi wa album yake mpya na ya saba, Woman. Ametangaza kubadilisha ukumbi wa awali na sasa utafanyika King Solomon Hall. “Naomba kuwafahamisha mabadiliko ya Venue Ijumaa Woman Album Launch Itafanyika ukumbi wa King Solomon Hall , karibu na Best Bite (Ada Estate- Kinondoni) Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza,” ameandika Jide kwenye Instagram. Album hiyo itakuwa na nyimbo kama Kamoba alioshirikiana na Hamoba wa Zambia, Together Remix akiwa na Spicy, Rosella akiwa na H_Art the Band, Unanichanganya akiwa na Naava wa Uganda na zingine.

NEY WA MITEGO ASEMA HAKUNA WA KUMBADILISHA

Picha
 Nay wa Mitego Hatimaye  msanii Nay wa Mitego mwenye 'hit song ya wapo' amefunguka baada ya kumaliza mkutano na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe Dodoma na kusema hakuna atakayeweza mbadilisha mtazamo wake katika kile anachoamini Hiyo ni baada ya Rais Magufuli kuamuru wimbo wake huo wa 'Wapo' ufunguliwe baada ya kufungiwa na BASATA huku akishauri ufanyiwe maboresho kwa kuongeza vionjo vipya. "Nimeitikia wito wa Mhe. Waziri, nashukuru tumeongea mengi wanasema usikatae wito kataa maneno. Haikuwa kwa ubaya, hakuna cha kurekebisha kwenye wimbo wetu wa 'Wapo' ila aliyoyapendekeza Mh. Rais nitayafanyia kazi. Huu ni wimbo wenu mashabiki wangu wote Tanzania na duniani kote, 'Wapo' ujumbe umeanza kufika. Hakuna atakae badilisha mtazamo wangu". Aliandika msanii huyo Pamoja na hayo Nay wa Mitego amesema anawategemea sana wananchi katika ulinzi wake kwa kuwa yeye hana 'Body-guard' "Sina mlinzi wala B...

BARAKAH THE PRINCE AFUNGUKA UHASAMA WA ALIKIBA NA DIAMOND

Picha
Barakah The Prince amedai kuwa kumshirikisha Alikiba kwenye wimbo wake Nisamehe kulikuwa na changamoto hasa kutokana na mvutano uliopo kati ya Team Kiba na Team Diamond. “Ujue Alikiba ni brand kubwa na ni brand ambayo ina mvutano na vitu vingi, kwahiyo unavyofavya collabo na Alikiba kuna mawili hapo, kuna nyimbo kufanya vizuri na kuna nyimbo kufanya vizuri wastani, wa kawaida kwasababu ya ule mvutano wa kibiashara ambao upo kati yake na timu nyingine,” Barakah alikiambia kipindi cha Ngaz Kwa Ngaz cha Salama Jabir. Hata hivyo amesema hakutegemea kama wimbo huo ungekuja kufanya vizuri kama ngoma zake zingine.

SKENDO ZAMPA STRESS DAVIDO

Picha
MKURUGENZI wa Lebo ya HKN, David Adeleke ‘Davido’ amekimbizwa hospitali na kulazwa huku chanzo kikidaiwa kuwa ni ‘stress’. Tukio hilo limejiri juzikati ambapo inaelezwa kuwa, Davido amekuwa akisumbuliwa na skendo inayozidi kuenea kwa kasi kuhusiana na kuzaa na mwanamke anayefahamika kama Ayomide Labinjo. Haikuelezwa hasa hospitali ipi amelazwa lakini kupitia Mtandao wa Snaptchat, Davido liweka kipande cha video akiwa ametundukiwa dripu na kuwaambia mashabiki wake wamuombee. Hivi karibuni, Ayomide alizungumza na Jarida la Punch na kuanika kila kitu kuwa, amezaa na Davido baada ya kulazimishwa wasitumie kinga. “Kama Davido unanisikiliza ulijue hili kuwa uligoma kutumia kinga,” Ayomide aliliambia Punch. Tayari, Ayomide kwa kushirikiana na mama yake wameshafungua mashtaka yakumtaka Davido ashiriki katika malezi ya mtoto huyo.

SIWEMA AFUNGUKA KUHUSU NAY WA MITE

Picha
MZAZI mwenziye na Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,  Siwema Hudson amesema kitendo cha serikali kumpa kashikashi kutokana na wimbo wake wa Wapo hakikumshangaza kwani alitarajia hayo yatokee kwa kuwa zilipendwa wake huyo ni mtu wa kukurupuka. Akizungumza na gazeti hili juzi baada ya Nay kutoka polisi, Siwema alisema yeye amekaa na Nay kwa muda mrefu na mara nyingi akiamua jambo ndiyo hivyo wala hakuna mtu anayeweza kumshauri. “Unajua Nay anapenda kukurupuka na wala hataki mtu apinge wazo lake, kama ameamua kufanya kitu anafanya tu na nilifahamu kuwa ipo siku hilo lingemtokea, sasa kama limepita anatakiwa kujitathmini upya,” alisema Siwema

Dr.SLAA AJITHAMINI KURUDI NCHINI ASEMA UPINZANI USIPOJIPANGA UNAWEZA KUFUTIKA 2020

Picha
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi nje ya nchi, Willbrod Slaa amesema anajitathmini kwa kile kilichomfanya aondoke hapa nchini na familia yake kama hakipo aweze kurejea nyumbani. Dkt. Slaa aliamua kuweka pembeni masuala ya siasa baada ya kutofautiana na chama chake juu ya masharti ya kumpokea aliyekuwa mgombea wa Urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa. Amesema kuwa kwa sasa amemaliza masomo yake na baada ya kutafakari na kujitathmini atarejea nyumbani muda wowote. “Ni kweli nimemaliza masomo yangu, bado napima mazingira yaliyonifanya niondoke na familia yangu, baada ya hapo nitaangalia uwezekano wa kurejea nyumbani,” amesema Dkt. Slaa. Aidha, kuhusu mwenendo mzima wa Serikali ya awamu ya Tano, amesema kuwa hakuna nchi hata moja ulimwenguni ambayo Rais wake atakubarika kwa asilimia mia moja, hivyo Rais Magufuli ameonyesha msimamo wa kusimamia kile anachokiamini Hata hivyo, ameongeza kuwa kama wapinzan...

SHILOLE APANGA KUFANYA TIMBWILI 40 YA MTOTO WA NUH MZIWANDA

Picha
Shilole aka Shishi Trump ni mzungu. Amesema hana kinyongo na ex wake Nuh Mziwanda na ndio maana mwaliko wa 40 ya mtoto wa kike wa Nuh na mke wake Nawal ukihusika, ataenda kufanya makubwa. “Mimi sinaga shobo ujue,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni. “Mimi naenda kwa moyo wangu kwamba ntaenda kama msanii mwenzangu kwamba hongera kwa kupata mtoto vizawadi hivi kama vibeseni, si unajua tena mama yake mkubwa wa zamani lazima naye.. sina tatizo,” aliongeza. Alipoulizwa kwanini hakumpa mtoto Nuh kwenye uhusiano wao, staa huyo alijibu, ‘hatukujaaliwa tu.’ Shilole amesisitiza kuwa bado yupo single kwa sasa.

ZANZIBAR WAFUNGUKA HAYA KUHUSU TANESCO

Picha
Siku chache baada ya kuibuka hofu kuwapo kwa uwezekano wa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kuikatia nishati hiyo Zanzibar kutokana na deni inalodaiwa, visiwa hivyo vimepata matumaini ya kuwa na umeme wake wa uhakika.  Matumaini ya Zanzibar kuondokana na tatizo la umeme wa kutegemea sehemu moja yameanza kuonekana baada ya utafiti wa nishati mbadala unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) kuonyesha uwezekano wa rasilimali hiyo kupatikana bila ya matatizo visiwani hapa. Akizungumza katika ziara iliyofanyika jana kwenye vituo vya utafiti wa uzalishaji umeme wa upepo na nishati ya jua mikoa ya Zanzibar, Meneja wa mradi huo, Munir Shirazi Hassan alisema utafiti ulioanza mwaka 2016 kwa ufadhili wa EU unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka miwili na kufuatiwa na ushauri yakinifu kutoka kwa wataalamu.  “Tunasubiri kwa hamu huduma hii ianze kutumika, tunadhani kufanikiwa kwake kutasaidia kushuka kiwango cha matumizi ya umeme kutoka Tanesco kwa zaidi ya asilimia 50 ili kuondokana na de...

WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA KUTUA NCHINI LEO

Picha
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Dessalegn anatarajiwa kuwasili nchini kesho, Machi 31 kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Hayo yalisemwa jana  na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Masharika, Dkt. Suzan Kolimba alipokuwa Akizungumza na waandishi wa habari. Alisema kuwa ziara ya Waziri Mkuu wa Ethiopia, Dessalegn imetokana na mkutano kati yake na Rais Dkt. Magufuli uliofanyika baada ya mkutano wa kawaida wa 28 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika uliofanyika hivi karibuni huko nchini Ethiopia. Alisema kuwa madhumuni ya ziara hiyo ni pamoja na kukuza mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Tanzania na Ethiopia pamoja ‎na kujadili fursa zaidi za ushirikiano katika maeneo mbalimbali ikiwemo uwekezaji na biashara. “Mahusiano ya Tanzania na Ethiopia ni mazuri, Ethiopia imeonesha nia ya kufungua Ubalozi wake hapa nchini hivi karibuni. Kwa sasa Ethiopia inawakilishw...

WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA KUTUA NCHINI LEO

Picha
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Dessalegn anatarajiwa kuwasili nchini kesho, Machi 31 kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Hayo yalisemwa jana  na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Afrika Masharika, Dkt. Suzan Kolimba alipokuwa Akizungumza na waandishi wa habari. Alisema kuwa ziara ya Waziri Mkuu wa Ethiopia, Dessalegn imetokana na mkutano kati yake na Rais Dkt. Magufuli uliofanyika baada ya mkutano wa kawaida wa 28 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika uliofanyika hivi karibuni huko nchini Ethiopia. Alisema kuwa madhumuni ya ziara hiyo ni pamoja na kukuza mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Tanzania na Ethiopia pamoja ‎na kujadili fursa zaidi za ushirikiano katika maeneo mbalimbali ikiwemo uwekezaji na biashara. “Mahusiano ya Tanzania na Ethiopia ni mazuri, Ethiopia imeonesha nia ya kufungua Ubalozi wake hapa nchini hivi karibuni. Kwa sasa Ethiopia inawakilishw...

MADHARA YA KUVAA NGUO ZA NDANI KWA WANAWAKE

Picha
1. Magonjwa ya "Urinary tract infection" au UTI hayataisha kwako. Hii hasa ni kwa wanawake wanavaa nguo nyingi kwa wakati mmoja na kwa muda mrefu zaidi ya saa kumi. Unavaa chupi, lakini tight, suruali ya jeans, nk halafu unashinda na hizo nguo kuanzia asubuhi unapoenda kazini hadi saa mbili usiku unaporudi home. Hiyo ni hatari sana. Mwanamke anayefanya kazi zinazompasa kuwepo kazini zaidi ya masaa 8 namshauri asiwe anavaa chupi kabisa. Chupi ivaliwe nyakati za hedhi tu. Kama hauko kwenye siku zako vaa suruali tu bila chupi. Au vaa underskirt pekee yake kwa ndani na ndoo uvae nguo yako ya kawaida.  Hii itakuepusha na kuugua UTI. Ukiacha sababu za ngono UTI husababishwa na bacteria wanaopendelea mahali penye unyevu na joto. Kwa hiyo mwanamke akivaa nguo nyingi bacteria hao hujipatia joto la kutosha kuzaana. Mwanamke ni vyema ukaepuka kuvaa nguo za kubana mwili sana ili kuepukana na uwezekano wa kupafanya ukeni pawe na joto sana na ikitokea bacteria mmoja tu akaingia humo at...

MAGAZETI YA LEO IJUMAA 31/03/2017

Picha