SUGU ASEMA MLINDA WA CCM ANATIKANA LAKINI NAIBU SPIKA ANAMLINDA


Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi amehoji inakua vipi mbunge wa Goodluck Mlinga wa CCM amekuwa akitukana wapinzani mara kwa mara bungeni ila hachukuliwi hatua

Amesema walipoomba mwongozo wa matusi ya mbunge huyo naibu spika alisema tukio hilo lilitokea siku iliyopita hivyo halipaswi kuzungumziwa lakini Freeman Mbowe aliitwa kwenye kamati ya maadili kutokana na kauli iliyoombewa muongozo na Kangi Lugola ambayo Mbowe aliitamka na siku tatu zilipita

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI