KILORITI AMCHANA BOSS WA HARMORAPA

Msanii kiloriti ambaye alikuwa chini ya label ya SGS amefungula
Kuwa boss wao anaeneza maneno ya uongo kuhusu maisha yao waliyokuwa wanaishi na harmorapa

Wamepishana kutokana na boss wake huyo kutaka atafute kiki jambo ambalo hakulipenda pia hawakuwa wanaishi kizungu kama mashabiki wao wanavyodai

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI