KIONGOZI ALIYEITOZA FAINI MAITI ASAKWA


Kiongozi wa kimila katika Kijiji cha Endagulda ameamriwa akamatwe baada ya kuitoza faini maiti.

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Chelestino Mofuga aliagiza kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kiongozi huyo.

Mofuga ametoa agizo hilo juzi kijijini hapo baada ya baadhi ya wananchi kulalamika kuwa, mzee wa kimila, Joseph Daniel aliagiza Gadii asizikwe hadi faini hiyo itakapolipwa.

Awali, kiongozi huyo wa kijiji aliagiza kulipwa faini ya ng’ombe mmoja kutoka kwenye zizi la marehemu Boay Gadii (42) kabla ya maziko yake ikielezwa kuwa alitengwa na jamii.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI