WAZIRI MWAKYEMBE MITANDAO YA KIJAMII NI TATIZO

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amesema watumiaji wa mitandao ya kijamii Tanzania ni wengi sana hivyo mitandao hiyo kama haitadhibitiwa mapema huenda ikaleta matatizo katika nchi. 

"Watanzania ambao wapo kwenye mitandao ni mamilioni kwa sasa, lakini tunachosema tatizo hapa ni matumizi mabaya ya hiyo mitandao, mwanasiasa maarufu wa Marekani nafikiri Clinton alisema mwaka jana kuwa matumizi mabaya ya mitandao ni ugonjwa hatari unaoweza kuteketeza dunia, kwa kweli mitandao ya jamii kama hatujaiangalia vizuri au kuithibiti inaweza kutuingiza katika matatizo makubwa sana" alisisitiza  Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI