STEVE NYERERE ASEMA UHAKIKI WA VYETI UPITE NA BONGO MOVIE


Muigizaji Steve Nyerere ameeleza kuwa, iwapo zoezi la ukaguzi wa vyeti feki lingegusa tasania ya uigiza yeye angecheka sana.

Kupitia mtandao wa instagram, ameandika ujumbe huu, “Sidhani kama hili zoezi la vyeti feki limeisha, lingekuja mpaka huku kwetu ningecheka sana, maana huku kuna makundi 2 wasaniii feki (2) na vilaza wasio jitambua hawa wote ni mzigo kwa TAIFA,”

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI