HOTUBA YA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI


Hotuba ya kambi ya upinzani imehaririwa kwa maelekezo ya Spika, Job Ndugai na kuondoa maneno kwenye kurasa namba 4, 7 na 19.

Kabla Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema Lema hajaanza kusoma hotuba hiyo, Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga amesoma maelekezo ya Spika kuwa maneno hayo yafutwe na yasisomwe kwa sababu yalikwishazuiliwa katika hotuba zilizotangulia.

Alipofika kwenye maneno hayo akaanza kusema "Tatizo la rushwa..., amezimiwa kipaza sauti na kuelezwa na Giga kuwa suala hilo limeondolewa.”

Wabunge kadhaa walitaka kuomba mwongozo wa utaratibu lakini mwenyekiti akawakatalia.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI