SHAMSA FORD AWAJIBU WANAO SEMA AMEMFILISI MME WAKE

By @shamsaford

Nikiwa kama binadamu ni vibaya kuishi na kinyongo kwasababu natembea na umauti na sijui ni lini Mungu atanichukua. kiukweli mmenisononesha sana binadamu..ila kubwa kuliko vyote nimegundua kwamba watu wengi hawaitakii ndoa yangu mema. Nilipoanzana uhusiano na mume wangu wakasema tutachezeana na kuachana.Tulipooana wakasema hatutofikisha mwezi tutaachana, mitihani mingi iliyotutokea binadamu hawahawa walikuwa wanacheka.. Leo hii mnatusimanga na hayo mambo mnayopost..Nyie Binadamu mnataka nini jamani..Ni wa kwangu Mimi hata aweje ni wa kwangu mimi.Mnalotaka litutokee inshaallah kwa kudra za Mwenyezi Mungu halitatokea. Pale mnapowaza mabaya yatutokee kwenye maisha yetu na Mungu naye anapanga kutuepusha na hayo mabalaa....

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI