THE UNDERTAKER ASTAAFU MIELEKA


Marekani.Mashabiki wa mchezo wa mieleka WWE walitokwa na machozi mwishoni mwa wiki wakati mcheza mieleka mashuhuri The Undertaker alipotangaza kustaafu kucheza mchezo huo baada ya miaka 25.

Katika mchezo wake wa mwisho Undertaker alipigwa na Roman Reigns na kuondoka ulingoni akiwa na rekodi ya kushindi michezo 23 na kupoteza miwili  Wrestlemania.

Wakati akitoka ulingoni Undertaker alifanya kitu ambacho hajawahi kufunga hadharani kwa kwenda kumkumbatia mkewe Michelle McCool baada ya mechi dhidi ya Roman Reigns

Akithibisha kustaafu kwake mchezo huo Undertaker aliacha katikati ya ukumbi koti lake, kofia na glovisi zake na kuamsha shangwe kwa mashabiki wake.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI