NIKKI WA PILI NATAMAN KUFANYA COLLABO NA J COLE

Nick wa Pili hatamani kufanya collabo na msanii
wa Afrika, walau kwa sasa.
Lengo lake ni kufanya ngoma moja na mkali wa
Power Trip, Jermaine Lamarr Cole aka J.Cole.
“Collabo yangu ambayo naiwaza hivi ni yangu na
J.Cole,” alisema Nick kwenye kipindi cha Friday
Night Live cha EATV.
“Sababu J.Cole na mimi naona kuna mahali
tunakutana, aliongeza rapper huyo wa kundi la
Weusi.
Hadi sasa Nick wa Pili hajafanya collabo yoyote
ya kimataifa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI