NYOTA YA SAMATTA YAENDELEA KUNG'AA

Ukisema mambo yanaanza kunyooka, baada ya mashabiki wengi wa KRC Genk kuonyesha imani kubwa kwa mshambulizi, Mbwana Samatta. 
Samatta anaonekana kuwa bora zaidi kutokana na kuwa tegemeo katika kikosi cha Genk cha Ubelgiji. 
Imeonekana mmoja wa shabiki akiwa na bango uwanjani, akiomba jezi ya Samatta..!!!
Tupia neno lolote kwa Samatta kama ishara ya kumtakia kila la kheri katika soka...!!!

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBINU 5 KALI ZA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA YOYOTE MREMBO NA AKUBALI

SPIKA NDUGAI AELEZEA MAANA YA NENO FALA

FAHAMU NJIA ZA KUSAIDIA KUMFIKISHA MWANAMKE KILELENI